Blogroll

Thursday, April 26, 2012

TIMU YA NETBALL YAIBUKA KIDEDEA

2 comments
Katika safari ya kimichezo iliyofanyika jana huko korogwe, ikiwa na uwepo wa mheshimiwa raisi wa Tuso-sekuco, matokeo yalikuwa kama ifuatavyo





Timu ya wanawake ya netball iliibuka kidedea kwa kuwagonga akina dada wa korogwe girls magoli ya kutosha.katika mchezo huo uliokuwa wa kwanza kuanzwa, wachezaji walijituma na hatimaye kutwaa ushindi huo kupitia kwa nyota wa mchezo huo madam LEMA (SECOND YEAR)


                                                              BASKETBALL

Katika hali isiyo ya kawaida wachezaji waliingia pungufu uwanjani kitu kilichowafanya kulemewa lakini walijitahidi kwa kutoka kwa range ya 44 kwa 52 dhidi ya korogwe united iliyokuwa na wachezaji wengi na wenye nguvu.


                                                                FOOTBALL
wadau walifurika wengi uwanjani kwa upande wa korogwe united, wakipewa support na chuo cha walimu korogwe. Mvua za magoli zilianza kuinyeshea timu ya sekuco na hatiamaye kufikisha idadi ya magoli 5 kwa 1 dhidi ya korogwe united, mfungaji wa timu ya sekuco alikuwa SIDE (FIRST YEAR)



 president wa tuso sekuco naye hakuwa nyuma







 ZIFUATAZO NI BAADHI YA PICHA MCHANGANYIKO, PIA WAWEZA TEMBELEA www.tumsifu-thegreat.blogspot.com

KWA PICHA ZAIDI CLICK PAGE YA MAKTABA YA PICHA PALE JUU  
AU BONYEZA HAPA    TUMSIFU THE GREAT

KAMA UNATAKA KUCOMENT CHOCHOTE, FUATA HATUA ZIFUATAZO
1. CLICK COMMENT
2.ANDIKA UJUMBE WAKO
3. SELECT COMMENT AS
4.CHAGUA NAME/URL
5.KWENYE NAME ANDIKA JINA LAKO
6.KWENYE URL PAACHE WAZI
7.THEN CLICK PUBLISH


READ FULL POST

Tuesday, April 24, 2012

KARIBUNI WANA SEKUCO

5 comments
      Natumia nafasi hii kuwaalika wana SEKUco wote katika blog yetu ya www.sekucohabari.blogspot.com iliyo chini ya serikali ya wanafunzi TUSO-SEKUco, wizara ya habari mawasiliano na usafirishaji.
     Katika blog hiii tutakuwa tunahabarishana habari mbalimbali za ndani na nje ya chuo tukizingatia kanuni, maadili na taratibu za uandishi wa habari
         pia tukizingatia kanuni za serikali ya wanafunzi, na uongozi wa chuo kwa ujumla.
Ukizingatia kipindi hiki cha science and technology tumeona ni vema tukaitumia vema kuhabarishana kwa njia hii.
Pamoja na kuhabarishana habari mbalimbali za ndani ya chuo, pia tutakuwa tunawaletea dondoo za habari za nje ya chuo ambazo zitakuwa na manufaa kwetu na kwa jamii nzima ya SEKUco
     Habari zitakazopewa kipao mbele ni kama vile habari za michezo yote chuoni hapa kama vile football, basketball, netball, na `INDOORS GAMES` 
   kama una lolote la kucomment kwa faida ya wengi, mwisho wa habari hii kuna buttom iliyoandikwa comment, comment and then after, select profile, waweza andika jina lako au vinginevyo then publish.
        HATUTARUHUSU LUGHA YA MATUSI, VITISHO WALA AINA YOYOTE YA UKIUKWAJI WA MAADILI NDANI YA BLOG  HII.

                       `ACQUARE KNOWLEDGE SERVE WITH COMPASION`

READ FULL POST

DVD YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA VIJANA SASA INAPATIKANA

DVD YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA VIJANA  SASA INAPATIKANA
 

Blogger news

;

Blogroll

About

Copyright © SEKUCO HABARI Design by BTDesigner | Blogger Theme by BTDesigner | Powered by Blogger